Mhubiri 5 : 16 Ecclesiastes chapter 5 verse 16

Swahili English Translation

Mhubiri 5:16

Hiyo ndiyo balaa mbaya sana, ya kwamba kama vile alivyokuja, vivyo hivyo atakwenda zake; naye amefaidiwa nini mwenye kujitaabisha kwa ajili ya upepo?
soma Mlango wa 5

Ecclesiastes 5:16

This also is a grievous evil, that in all points as he came, so shall he go. And what profit does he have who labors for the wind?